Kanda ya video imewaonyesha wanaume wawili wakimvamia Vuyo Mvoko, kutoka yuninga ya taifa ya SABC ambaye alikuwa nje ya hospitali moja ya mjini Johannesburg akiripoti kuwasili kwa rais wa Zambia ili kufanyiwa ukaguzi wa matibabu. Bwana Mvoko baadaye alisema...
Read moreWatu 40 wamepoteza maisha kwenye ajali mkoani iringa
Watu 40 wamefariki katika eneo la Changarawe, Mafinga mkoani Iringa,nyanda za juu kusini mwa Tanzania, baada ya basi la kampuni ya Majinja Express walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na Lori.Miili ya waliofariki katika ajali hiyo imepelekwa hospitali...
Read moreAJALI ya basi yaua mkoani iringa
Habari kutoka mafinga mkoani iringa zinaeleza kuwa idadi ya watuambao hawajafahamika waliokuwa katika basi lamajinja namba T438CDE linalofanya safari zake katiya mbeya na Dar wamefariki dunia baada ya basihilo kuangukiwa na kontena.Aidha kamanda wa Polisi...
Read more#MICHEZO Real madrid' porto robo fainali UEFA
Real Madrid imenufanika na matokeo ya mechi ya mkondo wa kwanza ambapo iliwalaza Schalke 04 kwa jumla ya magoli 2- 0 na hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla ya magoli 5 - 4. Hapo jana Mshambuliaji wa Real Madrid Christiano Ronaldo alivunja rekodi...
Read moreRaisi wa zambia edgar lunga mapema wiki hii ameelekea nchini africa ya kusin kupata matibabu
Mapema wiki hii,Raisi Edgar Lungu alizungumza na waandishi habari kuwa kwa sasa anajisikia vizuri nah ii haizuii madaktari kufanya kazi yao,hivyo madaktari wanaosubiri kumtibia nchini Afrika Kusini wao wataamua namna ya kumtibu. Wakati wa mkutano huo,...
Read moreWatu 42 wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa baada ya mvua kuambatana na upepo mkali nakusababisha mafuliko
kujeruhiwa baada ya mvua ya upepo mkali kusababisha mafuriko katika kata ya mwakata wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Mvua hiyo ambayo ilinyesha kwa muda mfupi imewaacha watu 3,500 bila makazi katika kaya 350 huku nyumba zikifurika maji na baadhi ya mifugo...
Read moreRaisi jakaya kikwete ameitembelea familia ya aliye kua mbunge wa mbinga kaptein jonh komba
Akizungumza na waandishi wa habari spika wa bunge Mhe. Anna Makinda amesema pengo la kiongozi huyo alitaweza kuzibika kutoka na ucheshi uliofanya kupendwa na wabunge wengi zaidi na kuwataka wabunge kufanya kazi kwa neema ya mungu na watakapoondoka watakuwa...
Read moreMbunge jonh komba amefaliki dunia
Kwa mujibu wa Katibu wa Itakadi na Uenezi wa Chama tawala cha Tanzania chama cha Mapinduzi Nape Nnauye Mbunge huyo ambaye alikuwa maarufu kwa utunzi na uimbaji wa nyimbo za kampeni za chama hicho kifo cha chake kimetokea siku ya jumamosi majira ya jioni....
Read moreJeshi la Polisi limewakamata waethiopia 13 mkoani Morogoro.
wahamiaji haramu 13 kutoka nchini Ethiopia wakiwa kwenye gari ndogo aina prado katika kijiji cha Lusanga turiani wilayani Mvomero wakijiandaa kwenda Afrika Kusini kupitia mkoani Mbeya. Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Lenard Paul amezungumzia tukio...
Read more#MICEZO Luis suarez aiadhibu man city
Suarez aliwashangaza mashabiki wa Man City baada kupachika wavuni mabao yote mawili na hivyo kuwaonyesha ni moto wa kuotea mbali anapofika kwenye kisanduku cha kumi nane. Goli pekee la kufutia machozi la Manchester City lilitiwa kimiani na mshambuliaji...
Read more